NGUVU YA UMOJA
MWANZO 11;1-9 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.Ikawa watu waliposafiri waliona nchi tambarare katika nchi ya shinari wakakaa huko………………4,Wakasema haya na tujijengee mji ,na mnara,na kilele chake kifike mbinguni,tujifanyie jina ilitusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.Bwana akasema tazama watu hawa ni taifa moja,na lugha yao ni moja,na haya ndio wanayoanza kuyafanya wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.Haya na tushuke huko tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane wao kwa wao……………………
Neno umoja lina maana ya kupatana,kuafikiana,kuelewana na mwingine,pia ni hali ya kulingana katika roho,katika nia,katika mawazo,katika maneno na matendo yao.
Baada tu ya gharika ya nuhu kile kizazi kilichopona au kisichoangamizwa kiliendelea kuishi.Watu hawa walishi wakiwa na lugha moja na usemi mmoja.
Lugha moja ni hali ya watu wa eneo Fulani kusikilizana wanapozungumza na hivyo kufanya wawasiliane,hii haijalishi kama wana mahusiano mazuri au hapana.
Usemi mmoja ni hali ya watu kuelewana, kuafikiana,kupatana na hivyo kulingana katika jambo wanalopanga katika nia zao,katika mawazo yao na katika maneno na matendo.
Watu hawa walipanga kujenga mnara ambao ungefika mbinguni na shida ilikuwa kujijengea mnara wao wenyewe na kwa utukufu wao wenyewe si kwa utukufu wa Mungu.
Mambo manne ambayo yanaelezea nguvu ya umoja katika aya hii;
1.Msitari wa 3-4.kujishughulisha na lengo.
Mara zote panatakiwa kutazama lengo,watu wanapokuwa katika umoja au shirika au jumuia au kanisa.Ili mafanikio yaonekane panatakiwa watu walio kwenye umoja waangalie sana lengo.Bila ya kutazama lengo hakuna mafanikio yoyote yatakayotokea.
2.Msitari wa 6;umoja kutawala katika jumuia au watu.
Kama tulivyokwisha eleza hapo juu kwamba panatakiwa kuingiliana kitabia ili pawe na matokeo mazuri.Nikichukua mfano wa ndoa,panatakiwa sana umoja ili pawepo na matokeo mazuri juu ya ndoa husika.Wanandoa wengi hawazioni baraka za Mungu kwa sababu ya magomvi,matusi,kutoka nje ya ndoa,hata wivu wa kimapenzi,mume anapanda kwenye mti mke akienda sokoni,iliaone anaongea na nani njiani.Ndugu sahau kabisa kuwa kuna kubarikiwa unapokuwa na tabia zilizoko hapo juu.
3.Msitari wa 1,6;mawasiliano mazuri katika kikundi au jumuia.
Mawasiliano ni kitu muhimu sana kwenye jumuiya au ndoa.Mawasiliano mara zote yanahusisha pande mbili ambazo ziko katika umbali Fulani.Mawasiliano yanaweza kufanyika kwa njia ya mdomo,simu,email hata kwa barua.Nakumbuka wanandoa ambao walikuwa wanawasiliana kwa barua ndani ya nyumba.Siku moja baba mwenye nyumba aliandika kimeseji kuwa anapumzika na hivyo mke wake amuamshe wakati wa kwenda kazini.Mama alipokiona kile kimeseji naye akaandika muda umefika wa kwenda kazini.Baba alipoamka na kukuta kimeseji akajifunza kuwa hayo hayakuwa mawasiliano,toka siku hiyo akaanza kuongea na mkewe.Kikundi kinatakiwa kuboresha mawasiliano mara zote ili mafanikio ya kila siku yaonekane.Nikiwa kama mratibu wa shirika lisilo la kiserikali,nilijifunza sana umuhimu wa mawasiliano.Kwanza mawasiliano na Mungu,na walioko juu yangu na walioko chini yangu.Mahali ambapo nilizembea kidogo tu kufanya mawasiliano matokeo yake hayakuwa mazuri.Mungu alichafua mawasiliano ya wale watu ili wasitimize lengo walilojiwekea.
4.Msitari wa 7-9; kufanya mapenzi ya Mungu.
Mapenzi ya Mungu ni hali ya kufanya jambo linalompendeza Mungu na linalompa Mungu utukufu.Katika mistari hii tunaona namna ambavyo watu walijenga mnara ambavyo walishindwa kufanya mapenzi ya Mungu lakini walitamani kufanya mapenzi yao pale waliposema,na tujijengee mnara utakaofika mbinguni ili tujifanyie jina.Hawakutaka kuliinua jina la Bwana bali kuliinua jina lao wenyewe.
ZABURI 133;1 Tazama ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja.Ni kama mafuta mazuri kichwani,yashukayo ndevuni,ndevu za Haruni,yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.Kama umande wa Hermoni,ushukao milimani pa sayuni,maana ndiko Bwana alikoamuru baraka,Naam uzima hata milele.
Hii ni zaburi ndogo kuliko zote lakini yenye utajiri mkubwa.Yako mambo kadhaa tunayoweza kujifunza hapa ambayo watu wakizingatia watafanikiwa sana;
i.kukaa pamoja na kwa umoja,ni hali ya kuelewana kwa watu waliopamoja kwa dhati bila unafiki.
ii.mafuta mazuri kichwani,ni roho mtakatifu au upako au msaada anaoupata mtu anapojazwa roho bora ya Mungu.Upako unatakiwa uwe msaada katika maeneo yote ya mtu aliyeokoka kiroho,kimwili,kijamii hata kiuchumi.
iii.umande wa Hermoni,ni mfano wa baraka za Mungu zinashuka kwa watu wa Mungu.Mara zote watu wasiookoka wanapokuwa na pesa,watu husema wamebarikiwa.Lakini baraka za kweli zinatoka kwa Mungu na hivyo watu waliookoka peke yao ndio wanao barikiwa.Watu wasiookoka wana mbinu nyingi za kiibilisi za kuwafanikisha lakini hawana amani,ndoa zao hazina amani,hofu imewajaa.
Thursday, March 12, 2009
Wednesday, March 11, 2009
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MALEZI YA WAZAZI
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
MALEZI YAPI NI BORA KWA MWANAO?
MTHALI 22;6 Mlee mtoto katika njia mpasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.
Wazazi mara zote wamekuwa wakijitahidi kutoa malezi bora kwa watoto wao,na hakuna hata mzazi mmoja anayefurahi kuona mwanae akiharibikiwa,akifeli mitihani,kupata mimba kabla ya ndoa hata kutumia madawa ya kulevya kama bangi,mirungi,cocaine n.k.
Lakini mbaya zaidi ni pale unapokuta mzazi amefanya kila analoweza kumlea binti yake au kijana wake na kumpatia kila anachohitaji lakini anakuta kile alichotumaini hakukipokea.Na inauma zaidi pale mtu wa Mungu aidha mkristo,muislamu,padre,shehe,mchungaji,askofu,kadinali au hata papa anapokuta mwanae au mtoto wa nduguye ameharibikiwa kitabia.
Swali, je malezi yapi ni bora kwa mwanao,nduguyo kijana,hata mtoto wa jirani yako?
Mtoto anapozaliwa katika familia,mara zote mambo mema hutarajiwa kwa mtoto huyo.
Wazazi huanza kupanga mipango madhubuti ya namna ya kumlea,kumvisha,kumlisha,pia kumsomesha.
Watoto wengi wanazaliwa katika familia zinazotofautiana sana.Wengine katika familia bora na nzuri ambapo hakuna uhitaji wa pesa,mavazi,chakula hata malazi.Wengine katika familia maskini sana ambapo yale mahitaji muhimu kama chakula hakuna,au hata kukutana na wali krismasi moja hadi krismasi nyingine,mavazi kununua sikukuu ya pasaka hii hata pasaka nyingine,nyumba ni full-suit,yaani aidha udongo toka ukuta hadi paa au nyasi ukuta hadi paa lakini mbaya zaidi nyumba inavuja wakati wa mvua na hakuna pa kulala wala kukaa.
Katika familia hizi cha ajabu zaidi ni pale unapokuta mtoto wa tajiri ndiye mwasilika wa madawa,mwenye ugonjwa wa zinaa kama UKIMWI,anafeli sana masomo yake darasani kuliko yule mtoto wa maskini,amepata mimba za mapema au hata kukosa adabu kabisa.
Katika upande wa pili inashangaza kuona mtoto wa maskini aliyekosa kabisa msaada naye anaingia katika msafara wa matajiri,yaani anajihusisha na ulevi,ukahaba,kutosoma kwa bidii darasani hata naye kutumia madawa ya kulevya ambayo ataombaomba kwa majirani zake watoto wa matajiri.
Nikirudi kwenye historia ya kipindi cha ukoloni,watemi ambao walitakiwa kupeleka watoto wao mashuleni waliwachukua watoto wa watumwa wao majumbani na kuwapeleka kusoma.Wakidhani kwamba kama wale watoto wangechukuliwa na wale wakoloni,basi wangekuwa sio watoto wao.Hili lilifanya wale watoto wa makabwela wasome na kuelimika na kuwa watu wenye nyadhifa kubwa.
Watoto wetu wengi siku za leo wamepoteza kabisa appetite(hamu) ya kuona kwamba wanajenga maisha yao ya baadaye.Hivyo watoto wa maskini na matajiri ndio wanaoiba mitihani ili wafaulu.Wazazi nao bado wanahonga walimu ili watoto wao wasisome bali waolewe ili wao wapate mahari.
Pia utanawazi umefanya watoto wengi wawe na mawazo ya ulaya kila siku na hilo kuwafanya kujiingiza katika tama za maisha na si kufuata utaratibu na kuacha shortcut.Wazazi wengi wanalia machozi kila siku,wamekata tamaa juu ya watoto wao.Wametafuta dawa au muarobaini kwa watoto wao bila majibu yoyote.
JIBU LA WATOTO WETU LIPO KWA YESU
MTHALI 15;1 Jawabu la upole hugeuza hasira,bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.
Yesu alipitia katika kipindi cha utotoni kama wengine,aliwatii wazazi wake,aliowasaidia kazi za useremala pia alipenda kwenda kwenye ibada za wazazi wake.
LUKA 2;52 Naye yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo,akimpendeza Mungu na wanadamu.
Tunaona maeneo yote ya yesu yalikuwa yaani yaliongezeka.Je watoto wetu wanaokua katika maeneo yote yaani,kimwili,kiroho,kiakili na hata kijamii?.
Hapo ndipo sisi wazazi tunapokosea,tunapenda sana kwenda na watoto wetu beach kuogelea tukiwa na vyupi tu.Na huu ndio tumeona uzungu na maendeleo.
Tunashikana mikono na wake zetu au waume zetu kwenda nyumba za ibada lakini tumeacha watoto wanaangalia katuni kwenye luninga na mara zote mkiondoka wanatafuta stesheni zile mnazoangalia siku zote usiku ukiwa umejifungia chumbani saa tano na saa sita usiku na mpenzio.
Lugha ndani ya nyumba,ni chombo kizuri kinachofanya watoto wakue katika mtazamo wa wazazi wao.Jiulize kama huwa hutaji matusi ya nguoni kwa mmeo eti kisa umemzoea.Hapa hata walokole msitutishe mna lugha mbaya za uani hasa kina mama.
Wokovu wenu uko wapi? Ni kwenda kanisani ibada nyingi au kunena kwa lugha?
Umepoteza maono ya mtoto kwa tabia zako na lugha zako yako na mwenendo wako mbaya.Kumbuka kwamba wewe mzazi ndiye kielelezo kwa mwanao (model).
Nakumbuka wazazi Fulani ambao wamekuwa majirani zangu ambao walikuwa na tabia ya kupigana,hasa baba anapokuta hakuna chakula.Lakini baba huyu hakuwa na tabia ya kuacha kitu chochote nyumbani au pesa za matumizi.Akifika tu na kuona jiko limenuna anaanza ugomvi na magumi na mateke.Bahati mbaya mtaa mzima waliwafahamu wazazi hawa kwa tabia ya kupigana.Hivyo hakuna aliye jishugulisha nao hata walipoona hali imekuwa mbaya sana.Mara kwa mara mama alikuwa anaondoka kwenda kwao na baada ya siku mbili anarudi tena.Watoto wao wamekuwa katika tabia hiyo hiyo ya ugomvi.
Pia yupo mtoto ambaye wazazi wake wote walikuwa na ajira nzuri na mshahara mzuri,yeye alifaulu kuanza masomo ya sekondari.Kabla hajafika kidato cha pili alipata mimba,akaacha shule.Kabla mtoto hajafikisha miaka miwili akapata mimba nyingine.Mwisho wazazi wake wakachoka na kuomba madaktari wamtoe kizazi,
MITHALI 10;1 Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye,bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
Kina mama mara zote huumizwa sana na tabia zisizofaa za watoto wao.Linapotokea jambo lolote baya kwa mtoto watu husema,ona linatabia kama mama yake.Tabia mbaya anasukumiwa mama,lakini mtoto akiwa na tabia nzuri watu watauliza ametokea ukoo wa nani? Hasa watoto wa kike wanapochumbiwa vijana huuliza ukoo wa yule binti ni upi,wakiangalia baba yake nani,hasa mtoto anapokuwa na tabia nzuri.Kina mama wamekuwa na uzito mkubwa sana wa malezi ya watoto, lakini kama wazazi wote wawili watashirikiana kulea watoto wao basi nina hakika wataweka mchango mkubwa sana wa malezi.Na mwishowe watoto hulelewa vizuri.Pasiwepo na hali ya wazazi kulaumiana.
VYAZO VYA TABIA ZA WATOTO KUHARIBIKA
1.MAKUNDI;
Watoto wengi wanajihusisha na makundi yasiyofaa(mob psychology) wakiwa;shuleni,nyumbani,mitaani hata makanisani.Kuwa na marafiki wabaya ni tatizo kubwa linaloharibu watoto wa leo.
Mimi ni mratibu wa shirika lisilo la kiserikali na pia mwalimu wa watoto.Nafahamu ambavyo tatizo la makundi lilivyo athiri watoto.Katika kituo changu cha kazi nimekuwa na vijana watatu ambao walikuwa watovu wa nidhamu.Kupitia vijana hawa watatu nimekuwa nikiona kama tatizo la nidhamu linaongezeka kama donda-ndugu siku baada ya siku.Nimejaribu kushirikisha kamati ya kituo changu cha huduma,tumebaki kukaa vikao na kuandika mihtasari ambayo imekuwa haina majibu.
Lakini mara zote tumekuwa tukiomba kwa ajili ya vijana hawa na kwa muda mrefu.Kijana wa kwanza kuja na kusema nataka kuokoka alikuwa muislamu kwa asili,lakini pia alikuwa na tabia ya wizi uliokithiri,yaani wizi kwelikweli si udokozi.Kijana huyu alikuwa amesifika kwa tabia hii na nimeletewa mashtaka mara nyingi kuhusu wizi wake.Nilishindwa kufanya chochote kwani niliongea naye kuhusu tabia yake hiyo lakini bado alikana kabisa kuwa yeye sio mwizi.Niliongea na mzazi wake naye anasisitiza kuwa mtoto wake ana tabia nzuri.
Mwisho nikaamua kushirikisha watu tuombe kwa ajili ya kijana huyu na wengine pia.
Tulichukua muda mrefu wa zaidi ya miezi sita kuomba kwa ajili ya kijana huyu,mpaka tukasahau kuomba tena.Siku ambayo sikupanga niliona mtoto huyu anakuja na mama mmoja wa kanisani na kusema kuwa mtoto yule aliamua kuombewa ili aache wizi pia abadilike kabisa na kuokoka.
Nilishirikisha wazee wa kanisa kuomba kwa ajili ya mtoto huyu na tangu siku hiyo alibadilika kabisa.Nilimpa siri ya kwamba ni muhimu awambie rafiki zake maamuzi yake mapya na kwamba yeye haibi tena na ameamua kuokoka na kuacha na tabia ya kuwa kibaka.Pia nilimsisitiza amwambie na mzazi wake,maana alikuwa na mzazi mmoja tu na mama yake alishafariki.Ili kwamba kama yule baba alifaidi matunda ya wizi wa mwanae basi ajue biashara imedoda,Yesu amemuweka huru kijana.
MATENDO 16;16-18
…..Kijakazi aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta,aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua……….
Unaona wazazi wengi wanafaidi kutokana na maovu ya watoto wao.Hili limefanya juhudi za kupambana na ukahaba,ulevi,madawa ya kulevya na hata uchawi zinagonga ukuta.Serikali imepiga kelele kwa habari ya ajira za watoto bila mafanikio yoyote.
Mashirika binafsi pia yamejaribu kuiunga mkono serikali lakini bila mafanikio yoyote.Sababu kubwa ni wazazi kufurahia tabia za watoto wao na makundi wanayojihusisha nayo.Ole wako umuonye mtoto wa mtu kwa tabia zake mbaya,mzazi anakuja juu kama kifaru.Usemi kuwa “mtoto wa mwenzio ni wako”ni kama umepitwa na wakati katika utandawazi.
Mashuleni adhabu za viboko zimekuwa zikipingwa,hizi zote ni tabia za magharibi kuingilia maadili yetu.Hakuna adhabu yoyote kutolewa kwa mtoto,ili mradi tu uhuru wa kufanya maovu uwepo.
Tunahitaji kuomba sana kwa ajili ya kizazi hiki cha leo kwani hakuna njia ya amani ya kushugulikia matatizo zaidi ya maombi.
2.TABIA ZA WAZAZI WAO
Kama nilivyokwisha eleza hapo juu kuhusu tabia za wazazi wengi zinarithiwa moja kwa moja na watoto wao.Mara zote sumaku huvuta kitu cha asili ya chuma,na chenye umbali Fulani.Kama uko na mwanao ndani ya nyumba basi jua hiyo ni sumaku inayovuta kila kitu toka kwako.
Yuko mzazi mmoja aliyekuwa na tabia ya kuleta wapenzi wake ndani ya nyumba.Siku moja mtoto alivutwa na ule uhusiano wa mtu wa jinsia tofauti na kutaka kujaribu akikutana na mvulana nini kitatokea.Yeye mtoto alizaliwa nje ya ndoa na hivyo akarithi ile tabia aliyokuwa akiona kwa mama yake.Siku ya siku mtoto alipata mimba na mamaye alijua,lakini alikosa ujasiri wa kusema chochote,imekuwa tabia ya kifamilia.
ZABURI 51;5 Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu,mama yangu alichukua mimba hatiani.
Haya ni maneno ya Daudi,anayomwambia Mungu na kutubu.
Ukikumbuka Daudi alikuwa akichunga wakati Samweli alipokuja kumpaka mafuta mtoto mmoja wa Yese.Alipoona pembe haitoi mafuta ndipo alisema hawatokaa chini mpaka ameletwa Daudi.Daudi alikuwa amechaguliwa na Mungu kuwa mtumishi wake,lakini bado tatizo la kurithi tabia lilikuwa halijaisha kwa Daudi.
2SAMWELI 11;2 Ikawa wakati wa jioni,Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana,wa kupendeza macho…………………
Kumbuka kuwa Daudi alikuwa amekwisha kupakwa mafuta ili kuwa mfalme.Mafuta maana yake roho mtakatifu.Pamoja na kupewa uwezo na Mungu bado alishindwa kusimama na kuepuka tamaa.Je mtu wa Mungu umewahi kujiuliza kwa nini pamoja na kujazwa roho mtakatifu bado unasema uongo? Bado mkali? Bado unatamani wake au waume za watu?.
Hiyo ni tabia ya kurithi toka kwa mababu zetu au wazazi wengi ambao walifanya mambo mabaya tukiwa wadogo na hawakujua kuwa tunajifunza toka kwao.
Daudi alichukuwa mke wa Uria na kumpa mimba na kisha kusababisha kifo cha uri vitani kwa kumuweka mstari wa mbele.Mungu alimfanya Daudi atoe gharama kubwa sana.Kila jambo la upumbavu mtu analofanya mbele za Mungu lazima alipe.
Bath-sheba alimzaa Sulemani ambaye katika maisha yake amekuwa na historia ya kuoa wake wengi.Inasemekana Sulemani alioa wake 700 na masulia 300 jumla Elfu moja.
Hii ndio hali ya kurithisha watoto tabia,anafanya uovu wa kupita nyingi kuliko uliofanya wewe mzazi.
Kama mzazi utajenga tabia njema kwa watoto wako hili litafanya mtoto wako awe bora zaidi.Kuna mfumo wa kuwawekea watoto akiba katika benki za NMB na zinginezo ambao utamfanya mtoto wako aweze kujijengea tabia ya kuweka akiba.
Pia katika hali ya chi yetu ambapo umaskini umekuwa king`ang`anizi ni bora sana tunapowajenga watoto katika hali za kukataa umaskini wao wenyewe.Wanaposoma lengo liwe kupata maisha bora kwa kuwa wagunduzi sio kuajiriwa tu.
Tuesday, March 10, 2009
DARASA LA YESU LA IMANI
DARASA LA YESU LA IMANI
EBRANIA 10;38 Lakini mwenye haki wangu atishi kwa imani,nye akisitasita roho yangu haina furaha naye.
EBRANIA 11;6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu,kwa kuwa mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yupo na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Yesu alifundisha kwa asilimia 85%,alihubiri kwa 10%,alitenda miujiza kwa 5%.
Katika mafundisho alizungumzia sana somo la imani,ambayo mara zote aliwafundisha wanafunzi wake kwa mifano halisi.
Imani ni ule uhakika wa yale yasiyokuwepo kutamkwa kana kwamba yapo,pia imani inavuta yale yaliyombali na kuyaleta karibu.
Ili tufanikiwe katika maisha yetu hapa duniani,lazima tupite katika njia ya imani,hii ndio njia aliyotuchagulia Mungu tuishi(spiritual life style).
LUKA 18;8 Je nitakapokuja duniani nitaikuta imani?.
Yesu alijibu swali la wanafunzi kuhusu maisha yao na kufanikiwa kwao, kwamba ili wafanikiwe walipaswa kuishi kwa imani mpaka Yesu atakaporudi.
Mtumishi wa Mungu jiulize swali hili,je imani waliyokuwa nayo kina Ibrahimu,isaka na yakobo,kina Musa,kalebu,Joshua Daudi,samweli na Eliya,tunaweza kujifanananisha na sisi?.Biblia inaorodhesha katika Ebrania 11 masshujaa wote wa imani.
DARASA LA IMANI LA I
MARKO 11;12-14 Hata asubuhi yake walipotoka Bethania aliona njaa,akaona kwa mbali mtini wenye majani,akaenda ili labda aone kitu juu yake,na alipoufikilia hakuona kitu ila majani maana si wakati wa tini,akauambia tangu leo mtu asile matunda kwako,wanafunzi wake wakasikia.
Yesu alijua kuwa ule haukuwa msimu wa tini.Lengo hasa lilikuwa kufundisha wanafunzi kwa njia ya vitendo.Mara zote huwa Yesu anatupitisha katika madarasa ya imani ili tukue kiroho.Je umewahi kupingwa,kukataliwa,kujaribiwa au kutengwa kwa ajili ya kumwamini Yesu?.Hayo ni madarasa ya Yesu ya kukuza imani yako.
DARASA LA IMANI LA II
MATHAYO 14;22-33 Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande chomboni na kutangulia mbele yake kwenda nga`mbo wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano…
Yesu alipowambia wanafunzi wake kwenda ng`ambo wakati yeye mwenyewe alikwenda kuomba mlimani.Alifahamu kabisa yale yatakayotokea watakapofika katikati ya bahari.Lengo lake lilikuwa kumtumaini Yesu hata asipokuwepo.Wakati wakiendelea na safari mawimbi makubwa yalianza kukipiga kile chombo,hapo ndipo wanafunzi walianza kukosa kumtazama Yesu.Je ndugu mpendwa una tatizo hili pia? Unapokutana na mawimbi unasahau kuwa yesu yuko pamoja na wewe? Mara zote yesu anahitaji kuona ni kwa kiasi gani unamtegemea.Pia mawimbi yanapokuwa makubwa ndivyo hutokea na kutoa msaada.Lakini wengi wanaposaidiwa na uwepo wa yesu kristo,huanza kukemea pepo na kutoamini kuwa msaada huo unatoka kwa Bwana yesu.Petro alionyesha ujasiri mkuu.Hatuangalii kuzama kwa petro,lakini Petro alionyesha ujasiri wa kutembea juu ya maji.Je mtumishi wa Mungu waweza kutembea juu ya matatizo,majaribu,kupingwa na kutemewa mate kama Yesu na bado macho yako yakamtaza Yesu.Petro alifuzu darasa la Yesu kwa 95%.MATH 16;18,19 Nami nakwambia wewe ndiwe petro na juu ya mwamba huu nitalijega kanisa langu,wala milango ya kuzimu,yaani upinzani,imani potofu,imani za uongo hata dhambi hazitalishinda kanisa la yesu.Katika wanafunzi watatu waliokuwa karibu sana na Yesu,Petro peke yake ndiye aliyekabidhiwa funguo za ufalme wa mbingun
DARASA LA IMANI LA III
MARKO 4;35-40 Siku ile kulipokuwa jioni,akawaambia na tuvuke kwenda ng`ambo,wakauacha mkutano,wakamchukua vile vile alivyo katika chombo.
Na vyombo vingine vilikuwako pamoja naye.Ikatokea dhoruba kuu ya upepo,mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.Naye mwenyewe alikuwa kwenye shetri amelala juu yam to………….
Tunaona Yesu anaongeza kuwakamilisha wanafunzi wake kwa kuwapitisha tena katika mawimbi.Chombo mara nyingi humaanisha maisha ya mtu,na kinavyopita katika maeneo mbalimbali kinaposafiri ndivyo kinaonyesha uhalisi wa maisha ya mtu anavyoishi hapa duniani.
Yesu kwa urahisi kabisa aliamka akaukemea ule upepo,ndugu unapaswa kumwamsha Yesu ndani yako,yupo lakini amelala.Unapomwamsha tu anaukemea ule upepo unaokutesa kiurahisi kabisa.Nashuhudiwa kuwa liko jambo linakusumbua sana,linakufanya usilale usiku,linakufanya usile chakula,linakufanya ulie machozi.Ndugu ni rahisi tu mwamshe Yesu ndani yako.Utaniuliza nitamwamshaje? Sawa,
i.Jipangie ratiba ya kusoma neno la Mungu kila siku.
ii.Jipangie ratiba ya kuomba kila siku,kwa imani bila kupiga kelele za kushidwa.
iii.Amua kuokoka kikwelikweli kama bado ulikuwa msindikizaji.
iv.Abudu na watu wanaoukiri wokovu na kutangaza habari zaYesu.
BIBLIA INASEMAJE KUHUSU IMANI
I.Ni kumtegemea Mungu kwa asilimia 100%.
II.Kuona mambo yasiyokuwapo kana kwamba yapo tayari na umeyapokea.
III.Ni ngumu kumpendeza Mungu pasipo imani.
IV.Imani ni mkono wa kupokelea baraka toka kwa Bwana.
V.Imani inaweza kukua na kuongezeka.
DALILI ZA IMANI
I.Imani inatii neno la Mungu na sheria za Mungu.
II.Imani inafanya ushirika na Mungu.
III.Imani inaziamini ahadi za Mungu.
IV.Imani inafanya mtu ajikane na mambo ya dunia.
V.Imani inleta ushindi katika upinzani.
VI.Imani inaweza kuleta mateso kwa ajili ya Yesu.
EBRANIA 10;38 Lakini mwenye haki wangu atishi kwa imani,nye akisitasita roho yangu haina furaha naye.
EBRANIA 11;6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu,kwa kuwa mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yupo na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Yesu alifundisha kwa asilimia 85%,alihubiri kwa 10%,alitenda miujiza kwa 5%.
Katika mafundisho alizungumzia sana somo la imani,ambayo mara zote aliwafundisha wanafunzi wake kwa mifano halisi.
Imani ni ule uhakika wa yale yasiyokuwepo kutamkwa kana kwamba yapo,pia imani inavuta yale yaliyombali na kuyaleta karibu.
Ili tufanikiwe katika maisha yetu hapa duniani,lazima tupite katika njia ya imani,hii ndio njia aliyotuchagulia Mungu tuishi(spiritual life style).
LUKA 18;8 Je nitakapokuja duniani nitaikuta imani?.
Yesu alijibu swali la wanafunzi kuhusu maisha yao na kufanikiwa kwao, kwamba ili wafanikiwe walipaswa kuishi kwa imani mpaka Yesu atakaporudi.
Mtumishi wa Mungu jiulize swali hili,je imani waliyokuwa nayo kina Ibrahimu,isaka na yakobo,kina Musa,kalebu,Joshua Daudi,samweli na Eliya,tunaweza kujifanananisha na sisi?.Biblia inaorodhesha katika Ebrania 11 masshujaa wote wa imani.
DARASA LA IMANI LA I
MARKO 11;12-14 Hata asubuhi yake walipotoka Bethania aliona njaa,akaona kwa mbali mtini wenye majani,akaenda ili labda aone kitu juu yake,na alipoufikilia hakuona kitu ila majani maana si wakati wa tini,akauambia tangu leo mtu asile matunda kwako,wanafunzi wake wakasikia.
Yesu alijua kuwa ule haukuwa msimu wa tini.Lengo hasa lilikuwa kufundisha wanafunzi kwa njia ya vitendo.Mara zote huwa Yesu anatupitisha katika madarasa ya imani ili tukue kiroho.Je umewahi kupingwa,kukataliwa,kujaribiwa au kutengwa kwa ajili ya kumwamini Yesu?.Hayo ni madarasa ya Yesu ya kukuza imani yako.
DARASA LA IMANI LA II
MATHAYO 14;22-33 Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande chomboni na kutangulia mbele yake kwenda nga`mbo wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano…
Yesu alipowambia wanafunzi wake kwenda ng`ambo wakati yeye mwenyewe alikwenda kuomba mlimani.Alifahamu kabisa yale yatakayotokea watakapofika katikati ya bahari.Lengo lake lilikuwa kumtumaini Yesu hata asipokuwepo.Wakati wakiendelea na safari mawimbi makubwa yalianza kukipiga kile chombo,hapo ndipo wanafunzi walianza kukosa kumtazama Yesu.Je ndugu mpendwa una tatizo hili pia? Unapokutana na mawimbi unasahau kuwa yesu yuko pamoja na wewe? Mara zote yesu anahitaji kuona ni kwa kiasi gani unamtegemea.Pia mawimbi yanapokuwa makubwa ndivyo hutokea na kutoa msaada.Lakini wengi wanaposaidiwa na uwepo wa yesu kristo,huanza kukemea pepo na kutoamini kuwa msaada huo unatoka kwa Bwana yesu.Petro alionyesha ujasiri mkuu.Hatuangalii kuzama kwa petro,lakini Petro alionyesha ujasiri wa kutembea juu ya maji.Je mtumishi wa Mungu waweza kutembea juu ya matatizo,majaribu,kupingwa na kutemewa mate kama Yesu na bado macho yako yakamtaza Yesu.Petro alifuzu darasa la Yesu kwa 95%.MATH 16;18,19 Nami nakwambia wewe ndiwe petro na juu ya mwamba huu nitalijega kanisa langu,wala milango ya kuzimu,yaani upinzani,imani potofu,imani za uongo hata dhambi hazitalishinda kanisa la yesu.Katika wanafunzi watatu waliokuwa karibu sana na Yesu,Petro peke yake ndiye aliyekabidhiwa funguo za ufalme wa mbingun
DARASA LA IMANI LA III
MARKO 4;35-40 Siku ile kulipokuwa jioni,akawaambia na tuvuke kwenda ng`ambo,wakauacha mkutano,wakamchukua vile vile alivyo katika chombo.
Na vyombo vingine vilikuwako pamoja naye.Ikatokea dhoruba kuu ya upepo,mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.Naye mwenyewe alikuwa kwenye shetri amelala juu yam to………….
Tunaona Yesu anaongeza kuwakamilisha wanafunzi wake kwa kuwapitisha tena katika mawimbi.Chombo mara nyingi humaanisha maisha ya mtu,na kinavyopita katika maeneo mbalimbali kinaposafiri ndivyo kinaonyesha uhalisi wa maisha ya mtu anavyoishi hapa duniani.
Yesu kwa urahisi kabisa aliamka akaukemea ule upepo,ndugu unapaswa kumwamsha Yesu ndani yako,yupo lakini amelala.Unapomwamsha tu anaukemea ule upepo unaokutesa kiurahisi kabisa.Nashuhudiwa kuwa liko jambo linakusumbua sana,linakufanya usilale usiku,linakufanya usile chakula,linakufanya ulie machozi.Ndugu ni rahisi tu mwamshe Yesu ndani yako.Utaniuliza nitamwamshaje? Sawa,
i.Jipangie ratiba ya kusoma neno la Mungu kila siku.
ii.Jipangie ratiba ya kuomba kila siku,kwa imani bila kupiga kelele za kushidwa.
iii.Amua kuokoka kikwelikweli kama bado ulikuwa msindikizaji.
iv.Abudu na watu wanaoukiri wokovu na kutangaza habari zaYesu.
BIBLIA INASEMAJE KUHUSU IMANI
I.Ni kumtegemea Mungu kwa asilimia 100%.
II.Kuona mambo yasiyokuwapo kana kwamba yapo tayari na umeyapokea.
III.Ni ngumu kumpendeza Mungu pasipo imani.
IV.Imani ni mkono wa kupokelea baraka toka kwa Bwana.
V.Imani inaweza kukua na kuongezeka.
DALILI ZA IMANI
I.Imani inatii neno la Mungu na sheria za Mungu.
II.Imani inafanya ushirika na Mungu.
III.Imani inaziamini ahadi za Mungu.
IV.Imani inafanya mtu ajikane na mambo ya dunia.
V.Imani inleta ushindi katika upinzani.
VI.Imani inaweza kuleta mateso kwa ajili ya Yesu.
Saturday, March 7, 2009
SHAHIDI WA YESU
SHAHIDI WA YESU
Shahidi ni mtu anayetoa ushuhuda juu ya mtu fulani au juu ya jambo fulani.
Katika mahakama shahidi mara zote anakuwa upande wa mtu anayempa-support.Ni mara chache shahidi kuwa kinyume na mtu anayemtolea ushahidi.Usemi wa shahidi,tabia ya shahidi,hata mwenendo wa shahidi unashabihiana na ule wa muhusika wa kesi.
Wakristo wengi ni mashahidi wa Yesu.Hivyo wanatakiwa kufanana na Yesu katika kila eneo la maisha yao.Sitarajii kuona mkristo yuko kinyume na Bwana wake Yesu kristo.
Kuwa shahidi wa Yesu kunatofautiana sana na ule ushahidi unaotolewa mahakamani.Ushahidi kwa Yesu unatakiwa uwe na msaada wa nguvu za roho wa Mungu na upako wa kumuwezesha shahidi kuwa kielelezo cha Yesu bila hofu.
MATENDO 1;8 Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu roho mtakatifu nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu,na katika uyahudi wote,na samaria,na hata mwisho wa nchi.
Yesu alijibu swali la wanafunzi kuhusu ufalme,yeye hakuhitaji kutoa maelezo kuhusu ufalme maana alijua kuwa ufalme wa Mungu umo katika Nguvu zake.Hivyo aliwasisitiza kuwa wao walikuwa na kitu cha msingi kupokea zaidi ya ufalme.
Mtumishi wa Mungu napenda pia kukutia moyo kuwa majibu ya maisha yako yamo katika nguvu za Mungu.Uhitaji wako uko katika kiasi cha nguvu za Mungu ulizo nazo.
Roho mtakatifu ndiye anayeleta nguvu,lakini yeye mwenyewe sio ile nguvu.Ili mtu awe shahidi ni lazima iwepo nguvu ya kumuwezesha kuonyesha ushuhuda wake,pia awe na sura,tabia na mwenendo tofauti na ule wa ulimwengu au watu wengine wenye dini lakini hawana nguvu za Mungu.
1WAFALME 20;22 Naye yule nabii akamjia mfalme wa Israeli,akamwambia,enenda ,kusanya nguvu zako ujue na kuangalia ufanyavyo,kwa maana mwakani mfalme wa shamu atakuja juu yako.
Nabii alijua kwamba hakuna msaada mwingine kwa mfalme kama nguvu za Mungu.Nabii asingemshauri mfalme akusanye bunduki na mapanga na mikuki.Bali kukusanya nguvu za Mungu.Huu ndio ulikuwa msaada wa pekee na siri ya kushinda siku zote.Je ndugu yangu unapenda kuwa mshindi kwenye kazi zako,biashara zako,ndoa yako na hata masomo yako?.Kusanya nguvu na upako wa Mungu.
Uko upako wa aina nyingi;
i.upako wa kuhubiri.
ii.upako wa mali na fedha.
iii.upako wa kuishi na mke wako kwa amani.
iv.upako wa kuimba.
v.upako wa kuombea wagonjwa n.k.
MAENEO YA USHAHIDI
1.Maisha ya kiroho. 1kor 4;1-2 Mtu na atuhesabu hivi,kuwa tu watumishi wa kristo na mawakili wa siri za Mungu.Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu.
Mtumishi wa Bwana fahamu kuwa wewe ni mtu muhimu na Mungu anajua anaye mtu anayemwakilisha duniani.Katika kumwakilisha Mungu duniani fahamu kuwa huwezi bila Nguvu ya Mungu mwenyewe.Siri ya utumishi wetu ni kumiliki nguvu za Mungu tu.
2.Maisha na jamii inayokuzunguka.Ebrania 12;1-2 Basi na sisi pia kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii na tuweke kando kila mzigo mzito na dhambi ile ituzingayo kwa upesi.
Ushahidi wetu pia unachunguzwa na ulimwengu mzima,pale tunaposhindwa kumdhihirisha Yesu duniani kwa sababu ya nguvu zetu ndogo za kustahimili upinzani wa ibilisi duniani,
3.Maisha ya kiuchumi 3yohana 1;2 2petro2;9-10 kumb 8;18
Tunapokuwa mashahidi wa yesu jambo la msingi ni kujua kuwa ulimwegu unatutazama na kutaka kujifunza je Yesu tunayemtamka anaweza kubadilisha maisha yetu ya kiuchumi na kuwa mazuri.Nakumbuka watu wengi nilipookoka walivyonishangaa.Wengi walisema pamoja na kusoma kwangu nimekata tama na kuokoka ni nisubiri kufa tu.Mimi nilijua kuwa Mungu aliniokoa kwa makusudi ya kumtumikia,pia kubarikiwa naye kwa asilimia 100%.Hivyo kama umeokoka kuwa watu wataangalia afya yako,mali zako,familia yako,mke wako hata ndugu zako,je unawathamini?.Ukiwa maskini huwezi kuthamini watu kwani huna cha kuwasaidia.Msihi Mungu leo akupe mali hasa kwa ajili ya kumtumikia.
SIFA ZA SHAHIDI WA YESU
1.Anakuwa mwaminifu hata kufa ufunuo 3;20
2.Anabeba chapa za Yesu maishani mwake. Gal 6;17
3.Anaonyesha vipawa na karama za roho mtakatifu 1kor 12;4-11
4.Anaonyesha tunda la roho kwenye maisha yake. Gal 5;22
Shahidi ni mtu anayetoa ushuhuda juu ya mtu fulani au juu ya jambo fulani.
Katika mahakama shahidi mara zote anakuwa upande wa mtu anayempa-support.Ni mara chache shahidi kuwa kinyume na mtu anayemtolea ushahidi.Usemi wa shahidi,tabia ya shahidi,hata mwenendo wa shahidi unashabihiana na ule wa muhusika wa kesi.
Wakristo wengi ni mashahidi wa Yesu.Hivyo wanatakiwa kufanana na Yesu katika kila eneo la maisha yao.Sitarajii kuona mkristo yuko kinyume na Bwana wake Yesu kristo.
Kuwa shahidi wa Yesu kunatofautiana sana na ule ushahidi unaotolewa mahakamani.Ushahidi kwa Yesu unatakiwa uwe na msaada wa nguvu za roho wa Mungu na upako wa kumuwezesha shahidi kuwa kielelezo cha Yesu bila hofu.
MATENDO 1;8 Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu roho mtakatifu nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu,na katika uyahudi wote,na samaria,na hata mwisho wa nchi.
Yesu alijibu swali la wanafunzi kuhusu ufalme,yeye hakuhitaji kutoa maelezo kuhusu ufalme maana alijua kuwa ufalme wa Mungu umo katika Nguvu zake.Hivyo aliwasisitiza kuwa wao walikuwa na kitu cha msingi kupokea zaidi ya ufalme.
Mtumishi wa Mungu napenda pia kukutia moyo kuwa majibu ya maisha yako yamo katika nguvu za Mungu.Uhitaji wako uko katika kiasi cha nguvu za Mungu ulizo nazo.
Roho mtakatifu ndiye anayeleta nguvu,lakini yeye mwenyewe sio ile nguvu.Ili mtu awe shahidi ni lazima iwepo nguvu ya kumuwezesha kuonyesha ushuhuda wake,pia awe na sura,tabia na mwenendo tofauti na ule wa ulimwengu au watu wengine wenye dini lakini hawana nguvu za Mungu.
1WAFALME 20;22 Naye yule nabii akamjia mfalme wa Israeli,akamwambia,enenda ,kusanya nguvu zako ujue na kuangalia ufanyavyo,kwa maana mwakani mfalme wa shamu atakuja juu yako.
Nabii alijua kwamba hakuna msaada mwingine kwa mfalme kama nguvu za Mungu.Nabii asingemshauri mfalme akusanye bunduki na mapanga na mikuki.Bali kukusanya nguvu za Mungu.Huu ndio ulikuwa msaada wa pekee na siri ya kushinda siku zote.Je ndugu yangu unapenda kuwa mshindi kwenye kazi zako,biashara zako,ndoa yako na hata masomo yako?.Kusanya nguvu na upako wa Mungu.
Uko upako wa aina nyingi;
i.upako wa kuhubiri.
ii.upako wa mali na fedha.
iii.upako wa kuishi na mke wako kwa amani.
iv.upako wa kuimba.
v.upako wa kuombea wagonjwa n.k.
MAENEO YA USHAHIDI
1.Maisha ya kiroho. 1kor 4;1-2 Mtu na atuhesabu hivi,kuwa tu watumishi wa kristo na mawakili wa siri za Mungu.Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu.
Mtumishi wa Bwana fahamu kuwa wewe ni mtu muhimu na Mungu anajua anaye mtu anayemwakilisha duniani.Katika kumwakilisha Mungu duniani fahamu kuwa huwezi bila Nguvu ya Mungu mwenyewe.Siri ya utumishi wetu ni kumiliki nguvu za Mungu tu.
2.Maisha na jamii inayokuzunguka.Ebrania 12;1-2 Basi na sisi pia kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii na tuweke kando kila mzigo mzito na dhambi ile ituzingayo kwa upesi.
Ushahidi wetu pia unachunguzwa na ulimwengu mzima,pale tunaposhindwa kumdhihirisha Yesu duniani kwa sababu ya nguvu zetu ndogo za kustahimili upinzani wa ibilisi duniani,
3.Maisha ya kiuchumi 3yohana 1;2 2petro2;9-10 kumb 8;18
Tunapokuwa mashahidi wa yesu jambo la msingi ni kujua kuwa ulimwegu unatutazama na kutaka kujifunza je Yesu tunayemtamka anaweza kubadilisha maisha yetu ya kiuchumi na kuwa mazuri.Nakumbuka watu wengi nilipookoka walivyonishangaa.Wengi walisema pamoja na kusoma kwangu nimekata tama na kuokoka ni nisubiri kufa tu.Mimi nilijua kuwa Mungu aliniokoa kwa makusudi ya kumtumikia,pia kubarikiwa naye kwa asilimia 100%.Hivyo kama umeokoka kuwa watu wataangalia afya yako,mali zako,familia yako,mke wako hata ndugu zako,je unawathamini?.Ukiwa maskini huwezi kuthamini watu kwani huna cha kuwasaidia.Msihi Mungu leo akupe mali hasa kwa ajili ya kumtumikia.
SIFA ZA SHAHIDI WA YESU
1.Anakuwa mwaminifu hata kufa ufunuo 3;20
2.Anabeba chapa za Yesu maishani mwake. Gal 6;17
3.Anaonyesha vipawa na karama za roho mtakatifu 1kor 12;4-11
4.Anaonyesha tunda la roho kwenye maisha yake. Gal 5;22
Thursday, March 5, 2009
UTUKUFU WA MUNGU UTUKUFU WA MUNGU
UTUKUFU WA MUNGU
Utukufu wa Mungu ni roho ya Bwana,ni mkono wa Bwana,ni kidole cha Bwana,ni uweza wa Bwana,ni upako wa Mungu unaomwezesha mtu kutenda jaambo Fulani kupitia msaada wa Mungu.
MATH 17;1-6 Baada ya siku sita Yesu aliwatwaa petro,na yakobo,na Yohana nduguye akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani,akageuka sura yake mbele yao.Uso wake ukang`aa kama jua,mavazi yake yakawa meupe kama nuru.Na tazama wakatokewa na Musa na Eliya wakizungumza naye…………………
Wanafunzi au mitume wale watatu walichukuliwa na yesu kwa kusudi maalum la kukuza imani yao na kufahamu kuwaYesu alikuwa kweli mwana wa Mungu.Utukufu waliouona ulimfanya Petro asahau jukumu kubwa la kuubadilisha ulimwengu.Je ndugu yangu baraka za Mungu zinakufanya usahau jukumu la Mungu kwako?.Fahamu kuwa Yesu anatupitisha katika viwango mbalimbali vya utukufu wake ili atufanye watu tutakao tangaza utukufu wake hapa duniani.Cha ajabu sisi kina Petro wa leo tunataka kujenga vibanda duniani na kusahau kuwa tu wapitaji tu.Mtumishi wa Mungu kaza kamba za viatu vyako ambavyo ni utayari wa injili,mtumikie Mungu.Utakapotumika kwa uaminifu ndipo utauona ukuu wa Mungu maishani mwako na watu kuvutwa na huduma yako.
ISAYA 60;1-3 Ondoka,uangaze,kwa kuwa nuru yako imekuja,na utukufu wa Bwana umekuzukia.Maana tazama giza litaifunika dunia,na giza kuu lita zifunika kabila za watu.BALI Bwana atakuzukia wewe,Na utukufu wake utaonekana juu yako.Mataifa wataijilia nuru yako,na wafalme kuujia mwanga wa kuzuka kwako.
Katika nyakati hizi za kurudi kwa Yesu,Mungu aliahidi kubariki sana watu wake na kanisa lake.Nabii nyingi zimetoka kuwa hizi ni nyakati za roho wa Mungu kulifunika kanisa.Kama Israeli walivyoongozwa na wingu vivyo hivyo kanisa la leo linatakiwa kuonyesha utukufu wa Mungu.Wakati ulimwengu utakapokuwa kwenye giza la kiroho,matatizo,kushindwa huo ndio wakati watu wa Mungu watakapofanikiwa sana.Watumishi wa Mungu wote watakaofanya kazi ya Mungu kwa moyo watauona utukufu wa Mungu ukidhibitisha yote watakayotenda,kuwaza na kunena.
ISAYA 40;4-5 Kila bonde litainuliwa na kila mlima na kilima kitashushwa.palipoparuza patasawazishwa.Na utukufu wa Bwana utafunuliwa,na wote wenye mwili watauona pamoja kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya.
Bonde ni hali ya kitu kuwa viwango vya chini ya vipimo vya Mungu,na kilima ni hali ya kiburi au majivuno.Hivyo aliye mnyonge atainuliwa na aliye na kiburi atashushwa.Haya mawili yatakapotokea utukufu wa Bwana utaonekana kwa mtu akiyekarabatiwa na Bwana.
MAMBO AMBAYO UTUKUFU WA BWANA HUFANYA
1.Unafanya watu wafanikiwe kupitia utukufu wa Mungu Hagai 2;6-9
2.Unafanya watu wawe na hofu ya Mungu na toba la kweli Matendo 16;30-34
3.Unaleta amani na faraja ya roho mtakatifu matendo 9;31
4.Huleta mshikamano na umoja na upendo usio na unafiki. Zaburi 133;1-3.
5.Injili kuhubiriwa,uamsho kutokea na matendo ya Mungu kuonekana. Matendo 13;2-3.
Utukufu wa Mungu ni roho ya Bwana,ni mkono wa Bwana,ni kidole cha Bwana,ni uweza wa Bwana,ni upako wa Mungu unaomwezesha mtu kutenda jaambo Fulani kupitia msaada wa Mungu.
MATH 17;1-6 Baada ya siku sita Yesu aliwatwaa petro,na yakobo,na Yohana nduguye akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani,akageuka sura yake mbele yao.Uso wake ukang`aa kama jua,mavazi yake yakawa meupe kama nuru.Na tazama wakatokewa na Musa na Eliya wakizungumza naye…………………
Wanafunzi au mitume wale watatu walichukuliwa na yesu kwa kusudi maalum la kukuza imani yao na kufahamu kuwaYesu alikuwa kweli mwana wa Mungu.Utukufu waliouona ulimfanya Petro asahau jukumu kubwa la kuubadilisha ulimwengu.Je ndugu yangu baraka za Mungu zinakufanya usahau jukumu la Mungu kwako?.Fahamu kuwa Yesu anatupitisha katika viwango mbalimbali vya utukufu wake ili atufanye watu tutakao tangaza utukufu wake hapa duniani.Cha ajabu sisi kina Petro wa leo tunataka kujenga vibanda duniani na kusahau kuwa tu wapitaji tu.Mtumishi wa Mungu kaza kamba za viatu vyako ambavyo ni utayari wa injili,mtumikie Mungu.Utakapotumika kwa uaminifu ndipo utauona ukuu wa Mungu maishani mwako na watu kuvutwa na huduma yako.
ISAYA 60;1-3 Ondoka,uangaze,kwa kuwa nuru yako imekuja,na utukufu wa Bwana umekuzukia.Maana tazama giza litaifunika dunia,na giza kuu lita zifunika kabila za watu.BALI Bwana atakuzukia wewe,Na utukufu wake utaonekana juu yako.Mataifa wataijilia nuru yako,na wafalme kuujia mwanga wa kuzuka kwako.
Katika nyakati hizi za kurudi kwa Yesu,Mungu aliahidi kubariki sana watu wake na kanisa lake.Nabii nyingi zimetoka kuwa hizi ni nyakati za roho wa Mungu kulifunika kanisa.Kama Israeli walivyoongozwa na wingu vivyo hivyo kanisa la leo linatakiwa kuonyesha utukufu wa Mungu.Wakati ulimwengu utakapokuwa kwenye giza la kiroho,matatizo,kushindwa huo ndio wakati watu wa Mungu watakapofanikiwa sana.Watumishi wa Mungu wote watakaofanya kazi ya Mungu kwa moyo watauona utukufu wa Mungu ukidhibitisha yote watakayotenda,kuwaza na kunena.
ISAYA 40;4-5 Kila bonde litainuliwa na kila mlima na kilima kitashushwa.palipoparuza patasawazishwa.Na utukufu wa Bwana utafunuliwa,na wote wenye mwili watauona pamoja kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya.
Bonde ni hali ya kitu kuwa viwango vya chini ya vipimo vya Mungu,na kilima ni hali ya kiburi au majivuno.Hivyo aliye mnyonge atainuliwa na aliye na kiburi atashushwa.Haya mawili yatakapotokea utukufu wa Bwana utaonekana kwa mtu akiyekarabatiwa na Bwana.
MAMBO AMBAYO UTUKUFU WA BWANA HUFANYA
1.Unafanya watu wafanikiwe kupitia utukufu wa Mungu Hagai 2;6-9
2.Unafanya watu wawe na hofu ya Mungu na toba la kweli Matendo 16;30-34
3.Unaleta amani na faraja ya roho mtakatifu matendo 9;31
4.Huleta mshikamano na umoja na upendo usio na unafiki. Zaburi 133;1-3.
5.Injili kuhubiriwa,uamsho kutokea na matendo ya Mungu kuonekana. Matendo 13;2-3.
Wednesday, March 4, 2009
MUUJIZA WA KWANZA WA YESU
MUUJIZA WA KWANZA WA YESU
Muujiza ni tukio lisilo la kawaida linaloonyesha ukuu wa Mungu katika taratibu za kibinadamu.Pia muujiza ni tendo linalotokea nje na kanuni za kibinadamu ambalo huleta faida katika matokeo yake.
-Yesu alifanya miujiza mingi ili ;
1.kuonyesha uwezo wake wa kutawala taratibu za kibinadamu.
2.kujitambulisha kuwa yeye ni mwana wa MUNGU.
3.kufanya watu wamwamini.
4.njia aliyotumia mara zote kufundishia wanafunzi wake.
Yako maneno matatu yenye tofauti ndogo lakini yanafanana;
Ishara – huleta ushahidi juu ya jambo linaloleta upinzani.
Maajabu – ni tendo linaloleta mshangao linapotendwa.
Miujiza – ni tendo linaloonyesha muhuri wa kazi ya Mungu.
-Mtu anayetenda miujiza, maajabu na ishara,hudhihirisha uwepo na ukuu wa Mungu, pia huonyesha mamlaka ya Mungu.
-Mambo yanayotokea muujiza unapotendeka;
1.Huinua imani ya watu
2.Hudhihirisha ukuu wa Mungu.
3.Huongeza ujasiri
4.Huleta hofu ya Mungu
5.Huleta uamsho wa kiroho.
YOHANA 2;1- 11 MATEN 4;29-31 KUTOKA 7;20-21
-Yesu alifika huko kana kuhudhuria harusi ya marafiki wa familia yao maana hata mama yake Yesu alikuwepo.
-Yako mambo kadhaa tunayojifunza toka kwa Yesu;
1.Yesu pamoja na huduma ya Mungu ndani yake lakini alipenda kufika kwenye matukio mbalimbali ya kijamii.Je mara zote tunafika kwenye mambo yanayohusu jamii au tunakwepa? Je Yesu asingefika kwenye harusi ya kana ungetokea muujiza huu?.
2.Mariam alikwenda kuomba msaada kwa Yesu alipoona divai imeisha.Je sisi tunamtazama nani wakati wa kupungukiwa,shida,kuugua,majaribu n.k.
3.Yesu alitengeneza divai njema kwa kubadilisha maji ambayo hayakuwa na radha na kuwa divai safi. Je anaweza kubadilisha uchungu ulionao moyoni mwako kuwa furaha?
Muujiza mkubwa katika maisha ya mtu ni pale anapobadilishwa maisha yake kwa Yesu kuingia moyoni mwake.Je unaweza kumruhusu Yesu kuingia moyoni mwako?
Anafahamu shida yako japo hutaki kumshirikisha,Anafahamu mapito unayopitia lakini anataka umpe nafasi wewe mwenyewe kumwambia kwamba unahitaji msaada wake.
Mara nyingi umeanza kutatua tatizo wewe mwenyewe,lakini hukupata msaada.Umewambia majirani,marafiki,wataalam na waganga bado hukupata nafuu
Yoyote.Leo ndio siku ya muujiza wako je uko tayari kupokea?
4.Mariam aliwaambia watumishi, lolote atakalowaambia fanyeni.Yesu bado anatoa maelekezo yake mpaka leo, anataka mtu atii ili apokee muujiza wake.Mara ngapi Yesu amesema na wewe juu ya mwenendo wako, maisha yako, hata tabia ile ambayo huwezi kuiacha.Je lolote atakalokwambia utafanya? Je uko tayari kuchukua hatua ya imani katika maisha yako kufanya yale ambayo ufahamu wako umeshindwa?.Yote yawezekana kwake aaminiye
.
YESU BADO ANAISHI NA KUTENDA MIUJIZA MIKUBWA ANATAKA UAMINI TU. MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUCHUKUA HATUA.
Tuesday, March 3, 2009
THE WAY,TRUTH AND LIFE
JOHN 14;6 Jesus said to him,im the way,and the truth,and the life.
This was a reply of Jesus when he was asked a question by thomas.Thomas asked,how can we know the way?.May be you asking the same question,how can i know the true way of my life?,how can i know the true way of my marriage?,how can i know the true way of peace?.Jesus is the answer to your many question you ask yourself.He is the creator,he knows everything about your life.Even the secrets you are hiding from your friends,brothers,and your wife he knows.Today he wants you to recognise him as the way out for your unprofitable business.He is the true God who gives peace to the world.May be you have been sick for years like the man in john 5;6 whom he asked,do you want to be healed?.Look the answer that unfaithful person gave,No body to put me in the pool.Ooh Jesus is everything!,doesnt need a pool to heal you,doesnt need a witchcraft to heal you,even doesnt need specialists to heal you.Jesus said rise take up your pallet,and walk.He can heal you today because he can give life to people.
PROVERBS 14;12 There is a way which seems right to a man,but it end in a way of death.
My dear you have a way,you know that it does not please God.Jesus is calling you today,to get a new life.2KOR 5;17 Therefore if anyone is in christ he become a new creation,the old have passed,the new has come.You can be a brand new creation through christ.
EXODUS 13;21-22;And the lord went before them by day in a pillar of cloud to lead them along the way,and by night in a pillar of fire to give them light;that they may travel by day and by night,the pillar didnt depart neither by day nor by night.
Brethren,Jesus is leading the way,he is leading by day and by night.In the wilderness Jesus appeared in a form of a pillar either of cloud or of fire,depending on the situation.Jesus will appear to you depending on the situation you are facing.
It might be your marriage is in trouble,or your relation with your friends.WHATEVER you are facing you have to know that there is a free help from Jesus.
What are you supposed to do;
1.repent your sins
2.welcome Jesus in your life
3.Go to a church where they preach salvation.
4.Be baptised with water
5.Be baptised with holy spirit.
GOD BLESS YOU SO MUCH.
Subscribe to:
Posts (Atom)